KUWA MILIONEA NA MECHI ZA LIGI LEO

Wababe wa ubashiri Tanzania Meridianbet wanakwambia hivi, Ijumaa ni siku yako ya bahati kwani unaweza ukapiga pesa zaidi ya Milioni kwa dau lako dogo tuu la utakaloweka. Unangoja nini sasa?. Jiunge na mabingwa sasa. Ufaransa leo hii LIGUE 1 nayo kuna mtanange mmoja wa Toulouse FC dhidi ya Saint- Etienne ambao wapo nafasi ya 16…

Read More

MKALI WA PASI ZA MWISHO BONGO

KIUNGO wa Azam FC, Feisal Salum ni namba moja katika wakali wa kutengeneza pasi za mwisho ndani ya NBC Premier League msimu wa 2024/25. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2023/34 nyota huyo alitoa jumla ya pasi saba alikuwa ni namba mbili na namba moja alikuwa Aziz Ki wa Yanga aliyetoa pasi 8. Ki kwa sasa ni…

Read More

JESHI LA YANGA NDANI YA DR CONGO HILI HAPA

KIKOSI cha Yanga kimewasili salama nchini DR Congo baada ya kukwea pipa Desemba 12 2024 ikiwa ni maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya TP Mazembe unaotarajiwa kuchezwa Jumamosi. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Desemba 14 2024 utakuwa ni watatu kwa Yanga kushuka uwanjani katika anga la kimataifa. Kwenye orodha hiyo…

Read More