
KIMATAIFA: MC ALGER V YANGA KINAWAKA
FT: Ligi ya Mabingwa Afrika Uwanja wa 5 July 1962 MC Alger 2-0 Yanga Dakika ya 90 goal la pili mtupiaji Sufian Clatous Chama na Djigui Diarra kadi ya njano dakika ya 90 Dakika ya 89 Maxi Nzengeli anafanya jaribio akiwa nje ya 18 linaokolewa na kipa Dakika ya 84 Mudathir Yahya ametoka ameingia Prince…