KIMATAIFA: MC ALGER V YANGA KINAWAKA

FT: Ligi ya Mabingwa Afrika Uwanja wa 5 July 1962 MC Alger 2-0 Yanga Dakika ya 90 goal la pili mtupiaji Sufian Clatous Chama na Djigui Diarra kadi ya njano dakika ya 90 Dakika ya 89 Maxi Nzengeli anafanya jaribio akiwa nje ya 18 linaokolewa na kipa Dakika ya 84 Mudathir Yahya ametoka ameingia Prince…

Read More

Kuwa Tajiri na Mechi za Leo

Ni rahisi sana kupuna mpunga wako ukiwa na Meridianbet kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yanapatikana hapa. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa. Tukianza na BUNDESLIGA leo hii Bayer Leverkusen  atakipiga dhidi ya ST Pauli ambao wapo nafasi ya 15 kwenye ligi wakishinda mechi 3 pekee hadi sasa. Alonso na vijana wake…

Read More

Nafasi ya Kuwa Milionea na Meridianbet Ipo Hapa

Tandika jamvi lako la ushindi siku ya leo kwani mechi nyingi sana zinacheza leo. Unasubiri nini kutengeneza kipato chako cha maana?. Ingia www.meridianbet.co.tz Italia michezo ya SERIE A itaendelea kama kawaida ambapo Genoa atakiwasha dhidi ya Torino huku tofauti ya pointi kati yao ikiwa ni 1 pekee huku mechi ya mwisho kuonana, walitoa suluhu. Leo…

Read More

SIMBA KWENYE HESABU NDEFU KIMATAIFA

MSHAMBULIAJI wa Simba Leonel Ateba ameweka wazi kuwa watapambana kutafuta ushindi kwenye mchezo wa kimataifa unaotarajiwa kuchezwa Jumapili, Desemba 8 2024. Simba kwa sasa ipo nchini Algeria kwa maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa hatua ya makundi dhidi ya CS Constantine ambapo ni Aishi Manula aliyekuwa kwenye mpango wa safari alipata changamoto ya kiafya hivyo…

Read More

YANGA KWENYE PRESHA KISA KUPOTEZA, KAZINI KIMATAIFA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic ameweka wazi kuwa wapo kwenye presha kubwa kwa sasa kwenye mechi za kimataifa kutokana na kupoteza mchezo wao wa kwanza hatua ya makundi dhidi ya Al Hilal lakini watapambana kupata matokeo mazuri. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza kwa Yanga katika hatua ya makundi walikuwa nyumbani na baada ya dakika…

Read More

WATUMISHI WAASWA KUJIANDAA MAPEMA KABLA YA KUSTAAFU

WATUMISHI wa magereza wameshauriwa kuwekeza kwa busara katika sekta mbalimbali wakiwa bado kazini, ili kujihakikishia maisha mazuri na endelevu baada ya kustaafu. Ikumbukwe kwamba kuna uwekezaji kwenye sekta mbalimbali ikiwa ni pamoja na michezo ambayo wapo wamiliki wa maduka ya vifaa vya michezo wanatengeneza mkwanja humo huku wakiwa wanaendelea na kazi pamoja na fursa mbalimbali…

Read More