KOCHA WA AZAM FC AKOMBA TUZO

RACHID Taoussi, Kocha Mkuu wa Azam FC amechaguliwa kuwa kocha bora ndani ya Oktoba baada ya kuingia fainali na kuwashinda makocha wengine ambao alikuwa akipambanishwa nao. Taarifa imeeleza kuwa kocha huyo aliyekiongoza kikosi hicho kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Yanga amewashinda Abdulhamid Moalin wa KMC na Denis Kitambi wa Singida Black Stars. Rekodi…

Read More

MUUAJI WA YANGA AFUNGUKA HAYA

MUUAJI wa Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, Offen Chikola amesema kuwa furaha kubwa kupata pointi tatu mbele ya timu kubwa kutokana na mchezo wao kuwa mgumu mwanzo mwisho ndani ya uwanja. Yanga chini ya Kocha Mkuu Miguel Gamondi imepoteza mchezo wa pili ikiwa nyumbani msimu wa 2024/25 ambazo ni dakika 180. Baada ya…

Read More

AWESU AWESU ATUMA UJUMBE HUU KWA MABOSI KMC

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Awesu Awesu amebainisha kuwa mzunguko wa pili ikiwa atawafunga mabosi wake wa zamani KMC atashangilia bao hilo kwa kuwa bao la kwanza hakushangilia. Nyota huyo kwenye mchezo wa kwanza kukutana na mabosi zake KMC kwenye ligi ilikuwa ni Novemba 6 2024 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 4-0 KMC ambapo…

Read More

AZAM FC WATAMBA KUENDELEA NA KASI

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa utaendelea na kasi yao kwenye mechi zijazo za ushindani ndani ya msimu wa 2024/25 kutokana na ubora walionao. Ipo wazi kwamba Azam FC ni timu ya kwanza kukomba pointi tatu mazima dhidi ya Yanga ambao ni mabingwa watetezi walipokutana mzunguko wa kwanza Uwanja wa Azam Complex Novemba 2…

Read More

YANGA WANATAMBUA WANAKUTANA NA TIMU YA NAMNA GANI

WACHEZAJI wa Yanga wamebainisha kwamba wanatambua wanakutana na timu ya namna gani uwanjani hivyo watapambana kufanya vizuri ili kupata matokeo mazuri ndani ya uwanja kwenye mchezo huo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex. Yanga ni namba mbili kwenye msimamo wa ligi ikiwa na pointi 24 baada ya kucheza mechi 9 huku…

Read More

AHOUA BADO ANAJITAFUTA HUKO UNYAMANI

LICHA ya kuwa namba moja kwenye wakali wa kucheka na nyavu ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo mdhamini wake mkuu ni NBC huku kwa upande wa matangazo ikiwa ni Azam TV, kiungo Jean Ahoua bado anajitafuta kwa kuwa hajawa katika ubora wake. Nyota huyo ni namba pekee zinambeba lakini kwenye utendaji hasa timu inapokuwa…

Read More

GAMONDI KUISHUSHA SIMBA KILELENI NAMNA HII

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amebainisha kuwa wanahitaji pointi tatu dhidi ya Tabora United kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex Novemba 7 2024 kupata nafasi ya kuongoza ligi ambayo ina ushindani mkubwa huku vinara wakiwa ni Simba. Yanga ambao ni mabingwa watetezi baada ya kucheza mechi 9 imepoteza mchezo mmoja ilikuwa Novemba…

Read More

MSHAMBULIAJI MUKWALA KAZINI TENA

BAADA ya kumaliza kazi kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara, Novemba Mosi 2024 mbele ya Mashujaa ya Kigoma mwisho wa reli, mshambuliaji Steven Mukwala, Leonel Ateba, Awesu Awesu ambaye ni kiungo mshambuliaji leo wana kibarua kingine mbele ya KMC. Ipo wazi kwamba mchezo uliopita baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Lake Tanganyika…

Read More

YANGA YAFUNGUKIA ISHU YA DUBE KUTOFUNGA

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa suala la mshambuliaji wa timu hiyo kutofunga litafika mwisho kwani licha ya kusemwa sana wapo wachezaji wengine ambao wamecheza muda mrefu bila kufunga ndani ya uwanja. Ikumbukwe kwamba Dube aliibuka Yanga akitokea kikosi cha Azam FC ambapo huko kwenye mechi ambazo alicheza alifunga mabao 7 msimu wa 2023/24 miongoni mwa…

Read More

UBUTU WA SAFU YA USHAMBULIAJI WAMLIZA KOCHA MSIMBAZI

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids ameweka wazi kuwa kuna tatizo kwenye eneo la ushambuliaji hasa katika umaliziaji wa nafasi ambazo wanatengeneza ndani ya uwanja jambo ambalo linawafanya wakose kufunga mabao mengi kwenye uwanja. Novemba Mosi 2024 Simba ilicheza mchezo wa kwanza ikiwa ugenini ndani ya Novemba na baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja…

Read More

EXPANSE KASINO WAMEKUJA KIBABE TENA

Kama ilivyo kawaida yao hua hawana jambo dogo basi ndio ikawa hivo tena shindano la Expanse Kasino limerejea tena kibabe, Ambapo wewe mchezaji wa michezo ya Kasino ya Expanse kupitia Meridianbet utapata fursa ya kuvuna mpunga. Kama ilivyokua kawaida shindano lolote la Expanse chini ya Meridianbet limekua likihusisha michezo mingi ya Expanse ambayo ndio inakua…

Read More

MERIDIANBET KUPITIA FOUNDATION YAKE WAENDELEE KURUDISHA KWA JAMII

Kampuni ya Meridianbet wameendelea kuirudisha kwa jamii yake kupitia Foundation yake ambayo imetimiza miaka mitano, Huku wakiwa wanafurahia kutimiza miaka hiyo kwa kufanikiwa kuigusa jamii katika nyanja mbalimbali. Meridianbet kupitia Foundation yake kwa miaka yote mitano wamekua wakihakikisha wanawasaidia vijana mbalimbali ambao wamekua wakifanya vizuri kimasomo na kugharamikia gharama zote za kielemu kwajili ya kuhakikisha…

Read More

UZINDUZI WA “AMAZING TANZANIA” WATIA FORA, DKT. ABBASI AELEZA TAMU NA CHUNGU ZA “LOCATION” NA MARAIS WA NCHI

Hatimaye Filamu ya kuitangaza nchi Uchina ya “Amazing Tanzania” iliyomshirikisha Rais Samia Suluhu Hassan, Dr. Hussein Mwinyi na msanii Jin Dong kutoka China, imezinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam. Katika uzinduzi huo Waziri wa Utalii Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amemwakilisha Rais Samia huku Serikali ya Uchina chini ya Rais Xi Jinping ikiwakilishwa na Naibu…

Read More