DAR CITY, ABC KATIKA KUWANIA UBINGWA WA BetPawa NBL 2024
TIMU ya mpira wa kikapu ya Dar City inaweza kutwaa ubingwa wa betPawa NBL endapo itaibuka na ushindi katika mchezo wa pili uliopangwa kufanyika usiku wa kesho, Novemba 19, 2024 kwenye Uwanja wa Chinangali Park, Dodoma. Dar City wana nafasi kubwa ya ushindi baada ya kuibuka na ushindi wa kishindo wa pointi 97-48 kwenye mechi…