KIMATAIFA, UWANJA WA MKAPA YANGA V AL HILAL KAZINI
FT: KIMATAIFA Uwanja wa Mkapa Ligi ya Mabingwa Afrika, hatua ya makundi Yanga 0-2 Al Hilal Adama Couulibal amefunga bao la uongozi dakika ya 63 na bao la pili ni mali ya Yasir Mzamil dakika ya 90. YANGA chini ya Kocha Mkuu, Sead Ramovic ipo uwanjani kusaka pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa hatua ya…