Jeshi la polisi jijini limethibisha kuwakamata watuhumiwa wawili Diva Gissele Malinzi (Diva the Bawse) pamoja na Jenifer Bilikwija (Niffer) kufuatia tuhuma za kukusanya pesa kinyume na Sheria.
NIFFER na DIVA WAMEKAMTWA na POLISI DAR – AFANDE MULIRO ATOA TAARIFA WANAOCHANGISHA PESA za KARIAKOO – VIDEO
