Skip to content
December 10, 2024
  • REAL MADRID KUKIWASHA LEO DHIDI YA ATALANTA, PIGA PESA NA MECHI ZA UEFA
  • AL HILAL OMDURMAN YA FLORENT IBENGE YAENDELEA KUWA TISHIO KWENYE KUNDI A
  • YANGA HAWAKUTARAJIA, KURUDI TENA UGENINI KIMATAIFA
  • SIMBA: MATOKEO MABAYA, HASIRA KUHAMIA HUKU

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2024
  • November
  • 15
  • SEAD RAMOVIC KOCHA MPYA YANGA
  • Sports

SEAD RAMOVIC KOCHA MPYA YANGA

Saleh4 weeks ago01 mins

Klabu ya Yanga imemtangaza raia wa Ujerumani, Sead Ramović kuwa kocha mkuu wa timu hiyo baada ya kuondoka kwa aliyekuwa kocha kwa klabu hiyo, Miguel Gamondi.

Ramovic alikuwa kocha mkuu wa klabu ya TS Galaxy ya Afrika Kusini kuanzia mwaka 2021 hadi mwaka 2024.

Post navigation

Previous: ONDOKA NA TABASAMU LEO, KITAWAKA KUFUZU AFCON, SPAIN VS DENMARK
Next: VAA TAJI NA USHINDE KITITA LEO

Related News

REAL MADRID KUKIWASHA LEO DHIDI YA ATALANTA, PIGA PESA NA MECHI ZA UEFA

Saleh5 hours ago 0

AL HILAL OMDURMAN YA FLORENT IBENGE YAENDELEA KUWA TISHIO KWENYE KUNDI A

Saleh1 day ago 0

YANGA HAWAKUTARAJIA, KURUDI TENA UGENINI KIMATAIFA

Saleh1 day ago1 day ago 0

YANGA YAANZA SAFARI KURUDI BONGO, WATUMA SALAMU KWA WAZIRI

Saleh2 days ago 0
Newsmatic - News WordPress Theme 2024. Powered By BlazeThemes.