EL CLASICO NA MECHI ZINGINE KUKUTAJIRISHA LEO

Je unataka utajiri leo?. Chimbo ni moja tuu napo ni Meridianbet ambapo hapa ndio sehemu sahihi ya wewe kupiga pesa za maana kwa dau lako dogo tuu unatimiza ndoto zako. Leo hii ligi kuu ya Ufaransa LIGUE 1 kuna mechi za maokoto Angers kukipiga dhidi ya AS Saint- Etienne ambao walipigika mchezo wao uliopita wakati…

Read More

YANGA KAZINI LEO UGENINI MBELE YA COASTAL UNION

YANGA kwenye kibarua kizito leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha kusaka pointi tatu muhimu dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Ipo wazi kwamba Yanga baada ya kucheza mechi 6 mfululizo haijapoteza wala kufungwa na ilicheza Kariakoo Dabi Oktoba 19 ubao wa Uwanja wa Mkapa ukasoma Simba 0-1 Yanga na mchezo uliopita ilikuwa Uwanja wa…

Read More

VITA YA SIMBA NA NAMUNGO BADO HAIJAISHA

ILIKUWA ni vita yenye mwendelezo wa msako wa pointi tatu ndani ya uwanja ambapo kila timu ilipambana kuonyesha ubora wake dakika 90 mwanzo mwisho licha ya ushindi bado haijaisha kwa kuwa kuna mzunguko wa pili unakuja. Simba imekuwa na kawaida ya kutumia dakika 15 za kipindi cha kwanza kupambana kusaka bao la mapema kisha dakika…

Read More

PENALTY ZINAENDELEA KUWAPA WATU MAISHA

Penalty tu zinaendelea kuwapa watu maisha kwani kupitia mchezo wa Beach Penalties watu wanashinda maokoto ya kutosha, Ambapo ni ufanisi wako tu katika kupiga penalty na kufunga ndio kunakupa mkwanja. Umahiri wako wa kupiga mikwaju ya Penalty ndio inaweza kukufanya ukaondoka na mamilioni kupitia mchezo huu pendwa kwasasa, Kwani utapaswa kupiga penalty zako tano na…

Read More