TAMKO LA SIMBA BAADA YA KUPOTEZA KARIAKOO DABI
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa kupoteza mchezo wao wa Kariakoo Dabi ni maumivu kwao ila wanajipongeza kwa kutengeneza timu mpya ambayo inawapa matokeo mazuri. Ikumbukwe kwamba Oktoba 19 2024 ilikuwa Simba 0-1 Yanga bao likipachikwa dakika ya 86 na mtupiaji ni Maxi Nzengeli hivyo Simba ilipoteza pointi…