TAMKO LA SIMBA BAADA YA KUPOTEZA KARIAKOO DABI

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa kupoteza mchezo wao wa Kariakoo Dabi ni maumivu kwao ila wanajipongeza kwa kutengeneza timu mpya ambayo inawapa matokeo mazuri. Ikumbukwe kwamba Oktoba 19 2024 ilikuwa Simba 0-1 Yanga bao likipachikwa dakika ya 86 na mtupiaji ni Maxi Nzengeli hivyo Simba ilipoteza pointi…

Read More

HIZI HAPA MECHI ZIJAZO ZA YANGA NA SIMBA

BAADA ya Kariakoo Dabi kugota mwisho mzunguko wa kwanza na ubao wa Uwanja wa Mkapa Oktoba 19 kusoma Simba 0-1 Yanga kazi bado inaendelea kwa Ligi Kuu Bara mechi kuwa za moto huku vinara wakiwa ni Singida Black Stars ambao walikomba pointi tatu kwenye mchezo uliopita dhidi ya Namungo. Oktoba 20 ubao wa Uwanja wa…

Read More