SIMBA YAPOTEZA KARIAKOO DABI NYUMBANI

SIMBA inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids imepoteza mchezo wa Kariakoo Dabi Uwanja wa Mkapa kwa kushuhudia ubao ukisoma Simba 0-1 Yanga. Bao pekee la ushindi kwa Yanga limefungwa na Maxi Nzengeli dakika ya 86 akitumia makosa ya kipa wa Simba Mussa Camara kutema faulo iliyopigwa na Clatous Chama. Simba walikosa utulivu kipindi cha kwanza…

Read More

KIKOSI CHA YANGA HIKI HAPA DHIDI YA SIMBA

KIKOSI cha Yanga dhidi ya Simba Oktoba 19 2024 ikiwa ni Kariakoo Dabi kipo tayari kuelekea kwenye mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Kikosi cha kwanza hiki hapa:-Dijgui Diarra, Yao, Ladack Boka, Dickson Job, Ibrahim Bacca, Khalid Aucho, Maxi Nzengeli, Mudathir Yahya, Prince Dube, Aziz Ki na Pacome kwa kikosi cha kwanza. Wachezaji wa…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA YANGA

UWANJA wa Mkapa, Oktoba 19 2024 Kariakoo Dabi inatarajiwa kuchezwa huku mwamuzi wa kati akiwa ni Ramadhan Kayoko. Hiki hapa kikosi cha Simba ambacho kinatarajiwa kuanza kipo namna hii:- Mussa Camara, Shomari Kapombe, Mohamed Hussen ambaye ni nahodha, Abdulazack Hamza, Che Malone, Yusuph Kagoma, Kibu Dennis, Ferndez Mavambo, Leonel Ateba, Jean Ahoua na Joshua Mutale….

Read More

MWAMBA HUYU HAPA MKALI WA PASI JANGWANI

ZIKIWA zimesalia saa chache kabla ya mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba na Yanga kuchezwa Uwanja wa Mkapa kuna balaa kubwa eneo la kiungo ambapo yupo mtaalamu wa pasi za mwisho ndani ya kikosi hicho kinacholewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Uwanja wa Mkapa kwa sasa mashabiki waliopo nje wanapambana kujikinga na mvua…

Read More

AZAM FC YABADILI MUELEKEO, KOCHA AFICHUA SIRI

BAADA ya kukomba pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Mbeya, Uwanja wa Sokoine Kocha Mkuu wa Azam FC Rachid Taoussi amefichua kuwa walibadili muelekeo kulingana na mchezo husika na kupata matokeo kama ambavyo walifanya vizuri mazoezini. Oktoba 18 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Sokoine ulisoma Tanzania Prisons 0-2 Azam FC…

Read More

Man U, Arsenal, PSG, Bayern Kukupatia Pesa Leo

Meridianbet wanakwambia ukitaka utajiri sehemu ni moja tuu, ingai kwenye akaunti yako na usuke jamvi la pesa leo.  Kama kawaida BUNDESLIGA itaendelea pia bingwa mtetezi Bayer Leverkusen baada ya kutoa sare leo atamenyana dhidi ya Frankfurt ambaye pia alitoa sare mechi yake iliyopita. Mechi hii ina machaguo zaidi ya 1000 meridianbet. Jisajili hapa. Wakati huo…

Read More