>

Sinza Star FC Yafikiwa Rasmi na Meridianbet

Kama ilivyo ada Meridianbet imeendelea na kurejesha kwa jamii ambapo imetoa msaada wa mipira kwa klabu ya Sinza Star FC, ikiwa ni jitihada za kampuni hiyo kusaidia maendeleo ya michezo na kukuza vipaji vya soka miongoni mwa vijana wa mtaa wa Sinza. Wakati wa hafla ya makabidhiano, Mhariri wa Meridianbet Nancy Ingram alisema, “Tunafuraha kubwa…

Read More

BALEKE: NITACHEZA YANGA BADO KAZI IPO

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Jean Baleke ameweka wazi kuwa bado kazi ipo kwenye ligi na atacheza mechi nyingi kwa kuwa ligi inaanza na benchi la ufundi lina hesabu zake. Ipo wazi kwamba Balake ni ingizo jipya ndani ya Yanga aliwahi kucheza kikosi cha Simba msimu wa 2023/24 na alifunga jumla ya mabao 8 kabla kukutana na…

Read More

RAIS WA KLABU YA BIASHARA UNITED YA MARA, REVOCATUS GABRIEL RUGUMILA AJIPA ‘THANK YOU’

Aliyekuwa Rais wa klabu ya Biashara United ya Mara, Revocatus Gabriel Rugumila ameamua kuachana na timu hiyo kuanzia tarehe 10/10/2024 kutokana na makubaliano ya uendeshaji kwa timu hiyo. Taarifa ya idara ya habari na mawasiliano ya klabu hiyo iliyotolewa Oktoba 11, 2024 imebainisha kuwa uamuzi huo umezingatia makubaliano yaliyopo kwenye mkataba wa uendeshaji wa timu…

Read More

CHEZA RICH PANDA LEO USHINDE KITITA

Fursa ipo mikononi mwako leo ya kuweza kunyakua kitita kizito kupitia mchezo mkali wa sloti wa Rich Panda, Kwa kucheza mchezo huu unaweza kua moja ya mamilionea wapya mjini. Usipate shida ni kupitia tovuti ya mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet ndio wamekuletea Sloti hii bomba kabisa ambayo inaweza kukufanya ukaondoka na maokoto…

Read More