>

SIMBA JESHI LAKE DHIDI YA COASTAL UNION

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids kina kazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya Coastal Union kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC, Complex Mwenge. Rekodi zinaonyesha kuwa kwenye mechi 10 ambazo wamekutana hivi karibuni ushindi kwa Simba ni mechi 8 na walitoshana nguvu kwenye mechi mbili ambazo ni dakika…

Read More

MAXI NZENGELI BALAA ZITO

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga Maxi Nzengeli ana balaa zito uwanjani kutokana na kuwa na uwezo wa kufunga na kutengeneza nafasi za mabao kwenye mechi za ushindani msimu wa 2024/25 akiwa namba moja kwa wakali wa kutupia ndani ya Yanga kwenye ligi. Ni mabao matatu anayo kibindoni akiwa amefunga mabao hayo ugenini bao moja na Uwanja…

Read More

SIMBA KUWAKABILI COASTAL UNION, MASHINE ZA KAZI ZAREJEA

BAADA ya kukomba pointi tatu kwenye mchezo ulipita dhidi ya Dodoma Jiji, Septemba 29 2024 kikosi cha Simba leo kinatarajiwa kuwa na kazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya Coastal Union mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC, Mwenge. Ikumbukwe kwamba kwenye mchezo huo bao pekee la ushindi kwa Simba lilifungwa na Jean Ahoua dakika ya…

Read More

PIGA PESA NA UREJEO WA LIGI KUU MBALIMBALI LEO

Je unajua kuwa siku ya leo unaweza ukabashiri mechi zako ndani ya Meridianbet na kujiweka kwenye nafasi ya kushinda kitita cha pesa?. Basi usisubiri kuambiwa weka dau lako na ubashiri hapa. Hispania leo, LA LIGA kuna mtanange mzito ambapo CD Leganes atamenyana dhidi ya Valencia ambaye alipoteza mchezo wake uliopita, wakati mwenyeji yeye aliambulia sare….

Read More