
YANGA YAONGOZA MBELE YA PAMBA JIJI
FT: UWANJA: Azam Complex Ligi Kuu Bara Yanga 4-0 Pamba Jiji Goal Bacca dakika ya 4 Aziz Ki penalti dakika ya 45 Maxi Nzengeli dakika ya 54 Kenedy Musonda dakika ya 84. Beki wa Yanga Ibrahim Bacca ana jambo lake baada ya kufunga bao la pili mfululizo kwenye mechi mbili za ligi. Mbele ya…