DAKIKA 270 ZA AZAM FC HIZI HAPA

MATAJIRI wa Dar, Azam FC wanakibarua cha kusaka pointi tatu ndani ya uwanja ambapo Oktoba wanamechi tatu zenye dakika 9 zinazosakwa na wao pamoja na wapinzani wao pia wanazihitaji pointi hizo tatu muhimu. Tayari Mzizima Dabi ya Azam FC v Simba mzunguko wa kwanza ulikamilika kwa ubao wa Uwanja wa New Amaan Complex kusoma Azam…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA HII HAPA

BAADA ya Oktoba 2 2024 nyuki wa Tabora, Tabora United kupoteza mchezo wao wa ligi dhidi ya wakulima wa zabibu Dodoma Jiji kuna dakika 90 nyingine za kazi leo Oktoba 3 2024. Ikumbukwe kwamba baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma ulisoma Dodoma Jiji 2-0 Tabora United na mabao yalifungwa na Paul…

Read More