>

KWAPUA MPUNGA NA MECHI ZA EUROPA LEO

Meridianbet Wanakwambia kuwa bashiri siku ya leo mechi za EUROPA ambazo zipo nyingi sana kuanzia saa moja mpaka zile za saa nne ujiweke kwenye nafasi ya kuwa tajiri kwani ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Leo hii macho yote yatakuwa hapa kwa Manchester United chini ya Ten Hag ambao watakuwa ugenini kukipiga…

Read More

DAKIKA 270 ZA AZAM FC HIZI HAPA

MATAJIRI wa Dar, Azam FC wanakibarua cha kusaka pointi tatu ndani ya uwanja ambapo Oktoba wanamechi tatu zenye dakika 9 zinazosakwa na wao pamoja na wapinzani wao pia wanazihitaji pointi hizo tatu muhimu. Tayari Mzizima Dabi ya Azam FC v Simba mzunguko wa kwanza ulikamilika kwa ubao wa Uwanja wa New Amaan Complex kusoma Azam…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA HII HAPA

BAADA ya Oktoba 2 2024 nyuki wa Tabora, Tabora United kupoteza mchezo wao wa ligi dhidi ya wakulima wa zabibu Dodoma Jiji kuna dakika 90 nyingine za kazi leo Oktoba 3 2024. Ikumbukwe kwamba baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma ulisoma Dodoma Jiji 2-0 Tabora United na mabao yalifungwa na Paul…

Read More