>

JUMAPILI YA KUFOSI KWA YANGA YAJIBU

JUMAPILI ya kufosi kwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi imejibu kwa kuibuka na ushindi mbele ya KMC mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Huu ni mchezo wa kwanza kwa Yanga kucheza uwanja wa nyumbani baada ya kucheza mechi mbili ugenini kwa kuanza na Kagera Sugar 0-2 Yanga, Ken Gold 0-1 Yanga hizi zote…

Read More

SINGIDA BLACK STARS BADO NAMBA MOJA

SINGIDA Black Stars wamerejea kwa mara nyingine namba moja kwa kuishusha Fountain Gate ambayo iliweka kambi hapo kwa muda ilipopata ushindi kwenye mchezo wake uliopita dhidi ya Kagera Sugar. Sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya JKT Tanzania inawafanya wafikishe pointi 13 kibindoni kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara ambao ushindani wake ni mkubwa. Katika…

Read More