>

GANZI YA MAUMIVU KWENYE UPENDO YAPIGA HODI KIGAMBONI

RASMI ile simulizi ya Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo iliyopata nafasi ya kutoka kwenye gazeti la Championi Jumatano na kusomwa na zaidi ya Watanzania milioni sasa inapiga hodi Kigamboni mji ulitulia huku amani ikizidi kutawala kila kona. Ikumbukwe kwamba hii ni simulizi ya kwanza kuwa kwenye mfumo wa kitabu imeandikwa na Mtunzi Lunyamadzo Myuka, A…

Read More

SIMBA KUIKABILI DODOMA JIJI KWA HESABU NZITO

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa mchezo wao ujao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji wataukabili kwa hesabu kubwa ya kupata pointi tatu kutokana na muda kuwa mchache kwenye maandalizi. Ni ushindi dhidi ya Azam FC ilipata kwenye mchezo wa Mzizima Dabi uliochezwa Uwanja wa New Amaan Complex, Septemba 26 mchezo ulichezwa na…

Read More

YANGA YAWAINGIZA KMC KWENYE MTEGO

UONGOZI wa Yanga umewaingiza kwenye mtego wapinzani wao KMC kuelekea kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex kwa kuwaambia kwamba itapata ushindi wa pili kwenye mchezo wao ikiwa watafunguka. KMC baada ya kucheza mechi nne imeambulia ushindi kwenye mchezo mmoja na ilipoteza kwa kufungwa mabao 4-0 dhidi ya Azam FC…

Read More

BEACH PENALTIES KUKUPA MAMILIONI LEO

Mchezo pekee ambao unaweza kukupa mkwanja kwa wepesi ni Beach Penalties, Ambapo kwa kupiga Penalty tu unaweza kuondoka na mamilioni ya kutosha. Ni Penalty zako tano tu za kibingwa ambazo zinazweza kukupa kitita cha kutosha kupitia mchezo huu mpya wa Beach Penalties, Kwani utapiga Penalty zako tano ambazo zitakua na Odds  bomba na kunyakua kitita….

Read More