FEISAL ANAFANYA KILE AKIPENDACHO

KIUNGO wa Azam FC inayotumia Uwanja wa Azam Complex kwenye mechi za nyumbani anafanya kile apendacho uwanjani kwa vittendo kutokana na kazi yake kuonekana ndani ya dakika 90 kwenye mechi ambazo anacheza. Ndani ya Azam FC, Feisal Salum ni namba moja kwa watengeneza pasi za mwisho akiwa ametengeneza jumla ya pasi tatu za mabao kati…

Read More

GANZI YA MAUMIVU KUWAFIKIA WAKAZI WA NJOMBE

HATIMAYE ile simulizi ya Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo iliyopata nafasi ya kutoka kwenye gazeti la Championi na kusomwa na zaidi ya Watanzania milioni sasa inakwenda kuwafikia wakazi wa Njombe na vitongoji vyake hivi karibuni. Ikumbukwe kwamba hii ni simulizi ya kwanza kuwa kwenye mfumo wa kitabu imeandikwa na Mtunzi Lunyamadzo Myuka, A Boy From…

Read More

AZAM FC YAPOTEZA MCHEZO WAKE WA KWANZA BONGO

MATAJIRI wa Dar Azam FC msimu wa 2024/25 wamepoteza mchezo wa kwanza wakiwa ndani ya Uwanja wa New Amaan Complex mbele ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Azam FC ilikuwa imecheza jumla ya mechi nne ambazo ni dakika 360 bila kuambulia kichapo kwenye mechi hizo ambapo ilipata ushindi kwenye mechi mbili na kuambulia…

Read More

SIMBA YATAMBIA USHINDI MBELE YA AZAM FC

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa umefurahia ushindi wao katika mchezo wa Mzizima Dabi uliochezwa Uwanja wa New Amaan Complex kwa kukomba pointi tatu muhimu kwenye mchezo huo. Ni Septemba 26 2024 mchezo huo ulichezwa baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa New Amaan Complex ulisoma Azam FC 0-2 Simba mabao yakifungwa na Leonel…

Read More

RATIBA LIGI KUU BARA BONGO HII HAPA

MWENDO wa msako wa ushindi ndani ya uwanja kwenye mechi za Ligi Kuu Bara unatarajiwa kuendelea leo Septemba 27 kwa mchezo mmoja kuchezwa Uwanja wa Tanzanite na utarushwa mubashara Azam TV  hivyo kama utashindwa kwenda uwanjani ni muda wako kukaa kwenye kideo kutazama mubashara. Ikumbukwe kwamba Septemba 26 2024 dunia ilishuhudia Mzizma Dabi Uwanja wa…

Read More