PILATO WA MZIZIMA DABI WEKA MBALI NA WATOTO

WAKATI ikiwa ni saa chache zimesalia kabla ya ulimwengu wa mpira kushuhudia Mzizima Dabi Uwanja wa New Amaan Complex, pilato wa mchezo huo weka mbali na watoto kutokana na misimamo yake akiwa kwenye majukumu yake. Azam FC itawakaribisha Simba kwenye mchezo wa kwanza msimu wa 2024/25 ambao unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar….

Read More

MZIZIMA DABI LEO, FOUNTAIN GATE MKWARA MZITO

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea baada ya Septemba 25 2024 mabingwa watetezi wa ligi Yanga kusepa na pointi tatu ugenini dhidi ya Ken Gold, mchezo uliochezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Bao pekee la ushindi kwenye mchezo huo lilifungwa na Ibrahim Bacca beki wa kazi akitumia pasi ya Aziz Ki ambaye kwenye mechi mbili mfululizo ametoa…

Read More