YANGA YAONDOKA NA POINTI TATU DHIDI YA KENGOLD KATIKA DIMBA LA SOKOINE, MBEYA
TIMU ya Yanga leo imeondoka na pointi tatu dhidi ya Kengold katika dimba la Sokoine, Mbeya kwenye mchezo wa Ligi Kuu bara. Wananchi wamefikisha pointi 6 baada ya mechi mbili huku KenGold wakiendelea kusubiri ushindi wa kwanza wa msimu baada ya mechi tano za msimu. Mfungaji wa bao Yanga ni la Ibrahim Hamad ‘Bacca’ limeipatia…