KITABU CHA ‘GANZI YA MAUMIVU KWENYE UPENDO’ RASMI KIPO MTAANI SASA
RASMI Kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo ambacho kimeegemea kwenye maisha halisi ya Kiafrika kikiwa na simulizi inayogusa maisha ya wengi, kipo mtaani kuanzia sasa. Usipange kukosa nakala yako kwa ajili ya kulisha chakula ubongo kuhusu suala la maamuzi na kuchanganya mambo mawili wakati mmoja, athari za madawa ya kulevya, elimu, visasi na upendo….