>

BUKUA MAMILIONI KUPITIA UEFA CHAMPIONS LEGUE LEO

Wakati ukijiuliza unapata wapi mkwanja wakati wiki imeshakua nzito ni Meridianbet wanarudisha matumaini upya, Kupitia michezo ya ligi ya mabingwa ulaya leo unaweza kushinda kitita cha kutosha. Mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet wapo kuhakikisha unajinyakulia maokoto ya kutosha kupitia usiku wa ulaya, Kwani wametoa Odds bomba sana katika michezo ambayo itachezwa usiku…

Read More

AZAM FC YAIPIGIA HESABU KMC

UONGOZI wa Azam FC umebainisha kuwa upo tayari kwa mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC kutokana na maandalizi waliyofanya na wanahitaji pointi tatu muhimu. Ikumbukwe kwamba kwenye mechi mbili za Ligi Kuu Bara msimu wa 2024/25 Azam FC haijafungwa wala kufungwa ndani ya dakika 180 walizocheza mechi za ushindani uwanjani. Hasheem Ibwe,…

Read More

SIMBA YAPIGA HESABU KULIPA KISASI KWA MKAPA

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa mpango mkubwa kwenye anga la kimataifa ni kulipa kisasi kwa wapinzani wao Al Ahli Tripoli kwa mashabiki kujitokea kwa wingi kwenye mchezo wa marudio ili kuwaongezea nguvu wachezaji wa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Septemba 22 2024 mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa wakiwa na kumbukumbu…

Read More