AZAM WAPATA USHINDI WA KWANZA WAIPIGA KMC BAO 4-0
LIGI Kuu ya NBC Tanzania bara imeendelea tena leo Septemba 19, 2024 kwa mchezo mmoja ambapo Wanalambalamba, Azam Fc wamepata ushindi wa kwanza wa msimu kufuatia ushindi mnono wa mabao 4-0 dhidi ya wenyeji, KMC Fc katika dimba la KMC Complex Mwenge, Dar es Salaam. Mabao wa Waoka Mikate hao yametiwa kimiani na Idd Bado…