>

TAJIRIKA LEO KUPITIA UEFA CHAMPIONS LEAGUE

Unaweza kutajirika kibabe leo kupitia michuano ya ligi ya mabingwa ulaya ambapo itashuhudia michezo kadhaa mikali ikichezwa, Ambapo itatoa fursa kwa mteja wa Meridianbet kuweza kunyakua kitita kupitia michezo hiyo. Mabingwa wa michezo ya kubashiri Meridianbet wenyewe wanakuambia mwaka huu ligi ya mabingwa ulaya hakuna unyonge, Kwani wamehakikisha wanamwaga Odds za kutosha kwenye michuano hii…

Read More

SIMBA YASHANGAZWA NA WAARABU, KULIPA KISASI KWA MTINDO HUU

BENCHI la ufundi la Simba limebainisha kwamba limeshangazwa na vitendo vilivyofanyika na mashabiki wa Al Ahli Tripoli kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika huku wakipanga kulipa kisasi kwa mtindo wa kipekee ndani ya uwanja. Ikumbukwe kwamba timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids, Septemba 15 ilikuwa na kazi kusaka ushindi ugenini baada ya…

Read More

DUBE ANA HATARI UWANJANI, GAMONDI KUMSUKA UPYA

NYOTA mpya wa Yanga, Prince Dube ana balaa zito ndani ya kikosi cha Yanga kwenye mechi ambazo anacheza licha ya kushindwa kufunga mabao mengi katika nafasi anazopata huku benchi la ufundi likibainisha kwamba wanasuka upya safu ya ushambuliaji kuongeza makali uwanjani. Ipo wazi kwamba kuna vita kubwa eneo la ushambuliaji Yanga ikiwa kuna Clement  Mzize,…

Read More

PIGA PENATI USHINDE MAMILIONI KUTOKA MERIDIANBET

Chimbo la michezo ya kasino ya mtandaoni, kila siku inatambulishwa michezo mipya na rahisi kucheza, na kushinda pia. Expanse ndio magwiji wa kutengeneza michezo ya kasino. Beach Penalties ni mchezo mpya wa kasino ya mtandaoni unaoweza kucheza kwa dau dogo Zaidi, la kuanzia Tsh 100, huku kila penati utakayopata inahesabaiwa na odds kubwa za ushindi….

Read More