SIKU MKISHTUKA…MNAWAKUTA SINGIDA WANAPIGA PARADE LA UBINGWA, PAMBA KAPIGIKA
Jamaa wapo serious sana na ligi ya msimu huu. Yaani wanaenda nayo hatua kwa hatua kuhakikisha kuwa hawaachi alama yoyote ile. Michezo minne, ushindi kwenye michezo yote. Alama 12 mpaka sasa na baridi ikiendelea kuwapiga pale kileleni mwa msimamo. Hao ni SINGIDA BLACK STARS. Wamemchapa Pamba Jiji leo pale pale CCM Kirumba bao moja kwa…