>

BAYERN, MADRID, LIVERPOOL KUKUPATIA MAPENE LEO

UEFA leo hii moto utawaka vibaya sana ambapo timu kutoka Mataifa mbalimbali yatashuka dimbani kusaka pointi tatu muhimu kwenye mechi zao leo. Je beti yako unaiweka wapi leo? Mapema kabisa saa 1:45 usiku Juventus chini ya Thiago Motta watakuwa wenyeji wa PSV kutoka kule Uholanzi ambapo nafasi ya kushinda mechi hii ndani ya Meridianbet akipewa…

Read More

DIDDY COMBS AKAMATWA NEW YORK CITY

Mwanamuziki mkongwe wa miondoko ya Hip-Hop na R&B wa Marekani ambaye pia ni mtayarishaji na mwandishi wa muziki, Sean “Diddy” Combs amekamatwa katika jiji la New York kwa mashtaka ambayo hayajabainishwa. Kukamatwa kwa Diddy Manhattan kunafuatia uvamizi wa mali zake mbili huko Los Angeles na Miami mnamo Machi kama sehemu ya uchunguzi unaoendelea wa mamlaka…

Read More

WAKIMATAIFA KAZINI SEPTEMBA

WAKIMATAIFA katika Ligi ya  Mabingwa ambao ni Yanga chini ya Kocha Mkuu Miguel Gamondi watakuwa na kazi ya kusaka ushindi wakiwa nyumbani kusaka tiketi ya kutinga hatua ya makundi. Ikumbukwe kwamba kwenye mchezo uliopita wakiwa ugenini ubao ulisoma CBE SA 0-1 Yanga bao la ushindi likifungwa na Prince Dube dakika ya 45 akitumia pasi ya…

Read More

FANYA YAFUATAYO HUTAJUTIA, UNAPOCHEZA KASINO

Promosheni ya Expanse Kasino ya Mtandaoni bado inaendelea na sasa wachezaji wote wanaweza kujishindia zawadi ya Mamilioni na bonasi za kasino kibao. Jisajili na Meridianbet kisha ucheze michezo ya Kasino ya Mtandaoni kutoka Expanse. Promosheni hii inatoa Tsh 1,100,000/= ikiwemo bonasi za kasino kibao. Kuna michezo mingi ya kasino na Sloti ambayo inaweza kukufanya kuwa…

Read More