
KAMPUNI MPYA YA KIMATAIFA KUBASHIRI MITANDAONI LEONBET YAINGIA TANZANIA
KAMPUNI mpya ya kimataifa ya michezo ya kubashiri ya mitandaoni na kwenye Kasino ya LEONBET imeingia rasmi katika soko la Tanzania. Kampuni hiyo ambayo inafanya shughuli zake katika nchi 19 duniani kote, tayari imepewa leseni ya kufanya shughuli zake nchini na Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (GBT). Mkurugenzi Mkuu wa LEONBET Tanzania, Tumaini Maligana…