SportsTAIFA STARS YASHINDA DHIDI YA WENYEJI, GUINEA, FEITOTO, MUDATHIR WATUPIA Admin1 week ago1 week ago01 mins TIMU ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars imechukua alama zote tatu dhidi ya wenyeji, Guinea katika dimba la Charles Konan Banny, Yamoussoukro Ivory Coast kwenye mchezo wa Kundi H. Guinea 1-2 Tanzania ⚽ Bayo 57’ ⚽ Feitoto 61’ ⚽ Mudathir 88’ Stars imefikisha pointi 4 baada ya mechi mbili inasalia nafasi ya pili kwenye Kundi H alama mbili nyuma ya vinara DR Congo. 𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄: KUFUZU #AFCON 2025 Botswana 🇧🇼 0-4 Egypt 🇪🇬 Gabon 🇬🇦 2-0 Central African Republic 🇨🇫 Liberia 🇱🇷 0-3 Algeria 🇩🇿 Namibia 🇳🇦 1-2 Kenya 🇰🇪 Zimbabwe 🇿🇼 0-0 Cameroon 🇨🇲 Post navigation Previous: JINSI YA KUPIGA PESA NYINGI NA SLOTI YA BOOK OF ESKIMONext: WACHEZAJI STARS WAPEWA PONGEZI USHINDI AFCON