>

WACHEZAJI STARS WAPEWA PONGEZI USHINDI AFCON

BENCHI la ufundi la timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars limeweka wazi kuwa pongezi kubwa kwa ushindi wa mchezo wa kuwania kufuzu AFCON 2025 mbele ya Guinea wanastahili wachezaji kwa kuwa walicheza kwa kujituma na kufuata malekezo. Ni Septemba 10 2024 Stars ikiwa ugenini ilikomba pointi tatu mazima mbele ya Guinea wakipindua meza kibabe…

Read More