>

TAIFA STARS KUIKABILI GUINEA

TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo Septemba 10inakibarua kingine cha kusaka pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa kuwania kufuzu AFCON 2025. Mchezo wa leo itakuwa dhidi ya Guinea huu ni mchezo muhimu utakaoiweka Stars kwenye nafasi nzuri ya kusaka tiketi ya kufuzu kushiriki michuano ya AFCON 2025 baada ya mchezo uliopita wakiwa Uwanja…

Read More

TISHA LEO KWA KUNYAKUA KITITA KUPITIA MICHEZO YA UEFA NATIONS LEAGUE

Maokoto yanatoka tena leo kupitia kampuni bingwa ya michezo ya kubashiri ya Meridianbet kupitia michezo ya Uefa Nations League ambayo itachezwa leo katika viwanja mbalimbali barani ulaya. Michuano ya Uefa Nations League ndio inakupa fursa ya wewe kupiga maokoto ya kutosha katikati ya wiki, Kwani inapigwa michezo mikali ya timu za taifa michezo ambayo inasindikizwa…

Read More

MASTAA SIMBA NDANI YA MAISHA MAPYA YANGA

MAISHA ya mpira yana kupanda na kushuka ambapo kila mchezaji uwanjani amekuwa na kazi kubwa kuonyesha uwezo wake ndani ya dakika 90 na wapo ambao wamekuwa wakiongezewadili jipya na wengine kukutana na Thank You. Msimu wa 2023/24 ipo wazi kwamba Yanga ni mabingwa wa ligi chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi na sasa wanakibaua kingine…

Read More

MAYELE ATETEMA UWANJA WA MKAPA BAADA YA KUIFUNGA ETHIOPIA KUFUZU AFCON 2025

Fiston Mayele ametetema katika dimba la Benjamin Mkapa baada ya kuifungia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo bao la pili dhidi ya Ethiopia katika mchezo wa kuwania kufuzu AFCON 2025. Ethiopia 🇪🇹 0-2 🇨🇩 DR Congo ⚽ 62’ Bongonda ⚽️ 76’ Fiston Mayele 𝗙𝗧:𝟮𝟬𝟮𝟱 𝗔𝗙𝗖𝗢𝗡 𝗤𝘂𝗮𝗹𝗶𝗳𝗶𝗲𝗿𝘀 🇱🇸 Lesotho 0-1 🇲🇦 Morocco 🇦🇴 Angola 2-1 🇸🇩 Sudan…

Read More

TSH 302,000,000/= INAKUSUBIRI LEO MERIDIANBET, CHEZA KASINO

  Kiufupi unaweza kusema mgodi wa pesa umetema, ni mara nyingine tena Michezo ya kasino ya mtandaoni, inakupa utajiri muda wowote kupitia promosheni ya Short Races. Jisajili Meridianbet Kasino uwe mshindi. Tsh 302,000,000/= inashindaniwa kupitia michezo ya kasino ya mtandaoni, ambayo utachagua mchezo mmoja wa sloti na kuucheza, huku unawinda kibunda cha mamilioni. Dau la…

Read More