
TAIFA STARS KUIKABILI GUINEA
TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo Septemba 10inakibarua kingine cha kusaka pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa kuwania kufuzu AFCON 2025. Mchezo wa leo itakuwa dhidi ya Guinea huu ni mchezo muhimu utakaoiweka Stars kwenye nafasi nzuri ya kusaka tiketi ya kufuzu kushiriki michuano ya AFCON 2025 baada ya mchezo uliopita wakiwa Uwanja…