TAIFA STARS KUIKABILI GUINEA

TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo Septemba 10inakibarua kingine cha kusaka pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa kuwania kufuzu AFCON 2025. Mchezo wa leo itakuwa dhidi ya Guinea huu ni mchezo muhimu utakaoiweka Stars kwenye nafasi nzuri ya kusaka tiketi ya kufuzu kushiriki michuano ya AFCON 2025 baada ya mchezo uliopita wakiwa Uwanja…

Read More

MASTAA SIMBA NDANI YA MAISHA MAPYA YANGA

MAISHA ya mpira yana kupanda na kushuka ambapo kila mchezaji uwanjani amekuwa na kazi kubwa kuonyesha uwezo wake ndani ya dakika 90 na wapo ambao wamekuwa wakiongezewadili jipya na wengine kukutana na Thank You. Msimu wa 2023/24 ipo wazi kwamba Yanga ni mabingwa wa ligi chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi na sasa wanakibaua kingine…

Read More