SAKATA LA YUSUPH KAGOMA NA YANGA, MBELE YA KAMATI YA SHERIA NA HADHI ZA WACHEZAJI TFF LEO
YANGA wamewasilisha nyaraka mbili muhimu kwenye shauri linaloendelea la kimkataba kati yao na Mchezaji Yusuph Kagoma pale TFF. Yanga kabla ya kuongea na Mchezaji waliwasiliana na Fountain Gate juu ya uwezekano wa kumpata Mchezaji huyo ambapo Fountain walitoa ruhusa ya mazungumzo kufanyika ambapo baadae wakasaini rasmi SALES AGREEMENT (Makubaliano ya mauzo) walisaini MACHI 27, 2024….