>

TUZO YA SIMBA YATOLEWA UFAFANUZI

BAADA ya Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids kuchaguliwa kuwa kocha bora ndani ya Agosti 2024 na Jean Ahoua kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa Agosti, uongozi wa Simba umetoa ufafanuzi kuwa kwa namna yoyote ile ilikuwa ni lazima watwae tuzo hiyo kutokana na rekodi zilizoandikwa. Ipo wazi kuwa baada ya mechi mbili msimu wa 2024/25…

Read More

FUNGAFUNGA: CHAMA NI MCHEZAJI MZURI

MICHAEL Fred, fungafunga mshambuliaji wa zamani wa Simba amesema kuwa mchezaji Clatous Chama ni miongoni mwa wachezaji wazuri aliopata nafasi ya kucheza nao kwenye ligi. Kwa sasa Chama yupo ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi alipata nafasi ya kucheza mchezo dhidi ya Kagera Sugar, Uwanja wa Kaiataba baada ya dakika…

Read More