![MUTALE MAMBO BADO NDANI YA SIMBA](https://salehjembe.co.tz/wp-content/uploads/2024/07/Mutale-443x400.png)
MUTALE MAMBO BADO NDANI YA SIMBA
INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids, kuna uwezekano akakosekana kwenye mchezo ujao wa ligi. Ni nyota Joshua Mutale yeye kwa upande wake mambo bado kutokana na kutokuwa fiti kwa sasa wakati timu hiyo ikiwa kwenye maandalizi ya mchezo dhidi ya Fountain Gate. Nyota huyo alipata maumivu kwenye mchezo…