NYIE HAMUOGOPI? YANGA WANA JAMBO LAO

MWAMBA wa Lusaka Clatous Chama amesema kuwa Agosti 4 2024 wana jambo lao Uwanja wa Mkapa hivyo mashabaki wajitokeze kwa wingi. Ni Kilele cha Tamasha la Wiki ya Wananchi ikiwa ni maalumu kwa ajili ya utambulisho wa wachezaji wapya na wale waliokuwa na kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Ipo wazi kwamba Chama…

Read More

KIBU KUKUTANA NACHO HUKO SIMBA

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa kiungo Kibu Dennis atapewa adhabu ili kuwa fundisho kwa wachezaji wengine ndani ya timu hiyo kuwa na nidhamu. Ikumbukwe kwamba Kibu hakuwa na timu kambini nchini Misri na taarifa kutoka Simba zilibainisha kwamba alikuwa akitoa sababu tofauti tofauti alipojulishwa kwamba anatakiwa kuripoti kambini. Mpaka kambi inakamilika nchini Misri Kibu hakuwa…

Read More

AZAM FC KIMATAIFA KAZINI LEO

MATAJIRI wa Dar Azam FC Agosti 3 2024 wanatarajiwa kuwa kazini kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Rayon Sports ya Rwanda. Mchezo huu ni maalumu baada ya Azam FC itakayopeperusha bendera ya Tanzania Kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika kupewa mualiko kwenye kilele cha siku ya Rayon Sports Day. Ni Agosti 2 kikosi cha…

Read More