
YANGA WAMETEKA SHOW MWANZO MWISHO KIKOSI BORA
HATIMAYE usiku wa tuzo za Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2023/24 umegota mwisho na kila kitu kuwa wazi nani amekuwa nani baada ya tuzo hizo. Kwenye kikosi bora cha msimu nyota wa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi wametawala kila kona huku kwa upande wa Simba ambao ni watani zao wa jadi mchezaji…