HAWANA jambo dogo Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ambapo wameendelea kutambulisha nyota wapya wa kazi kuelekea msimu wa 2024/25. Ni Aziz Andambwile aliyekuwa ndani ya Singida Fountain Gate ni mali ya Yanga kwa sasa tayari kwa changamoto mpya kuelekea msimu mpya.
Soccer Football - International Friendly - Spain v Brazil - Santiago Bernabeu, Madrid, Spain - March 26, 2024 Spain's Rodri scores their third goal from the penalty spot REUTERS/Violeta Santos Moura