>

HUKU SPAIN KULE FRANCE UNAONDOKA NA NANI?

Leo ndio leo asemaye kesho ni muongo, unaambiwa kitaeleweka pale katika dimba la Allianz Arena ambapo kutakuwa na timu mbili zinazogombani kucheza Fainali. Je nani kuondoka na ushidi leo?. Bashiri sasa mechi hizi pale Meridianbet. Utamu upo hapa kwa Spain dhidi ya France ambao hawapewi nafasi kubwa ya kushinda kutokana ma mwenendo wao tangu mashindano…

Read More

AZIZ RASMI MALI YA YANGA, KIJANI NA NJANO UZI WAKE

MABORESHO ndani ya kikosi cha Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi yanaendelea ambapo wamemtambulisha mtu mwingine wa kazi ndani ya kikosi hicho. Anaitwa Aziz Andambwile ambaye alikuwa anakipiga ndani ya kikosi cha Singida Fountain Gate msimu wa 2023/24. Ipo wazi kwamba Julai 9 2024 Aziz ametambulishwa Yanga baada ya kufanyiwa vipimo vya afya tayari…

Read More

KIUNGO MGUMU SIMBA IMEISHA

KIUNGO mgumu ndani ya Simba, Sadio Kanoute imeisha hiyo ndani ya timu hiyo baada ya kukutana na Thank You. Ipo wazi kuwa Kanoute raia wa Mali ni kiungo ambaye alikuwa akifanya kazi kubwa ndani ya uwanja msimu wa 2023/24 kwenye eneo la ukabaji. Sifa yake kubwa ni kutembeza mikato ya kimyakimya kwa wapinzani akiwa na…

Read More

Ushindi Hadi Tsh Mil 300 Ukicheza Short Race Kasino

Hivi ikitokea umepata bahati ya kuingia kwenye mashindano ya kushindania Mamilioni, ukiwa kinara kwenye mbio hizo utachukua kiasi gani cha pesa, endapo utapata nafasi ya kujichagulia kiwango? Jisajili Meridianbet Kasino kuwa mshindi.   Kupitia Promosheni mpya mjini ya Kasino, unaweza kuwa Milionea kirahisi kabisa, cheza michezo ya kasino ya mtandaoni kutoka Meridianbet iliyopo kwenye promosheni…

Read More

DOMINICK SALAMBA AFUNGUKA SAKATA LA AZIZ KI YANGA

Mwandishi Nguli wa Michezo nchini Dominick Salamba amefunguka sakata la kiungo mshambuliaji Stephanie Aziz Ki bado kusaini nyongeza ya mkataba mpya, ametoa ufafanuzi huu hapa chini;- ALICHOKISEMA HIKI HAPA>> Aisee hakuna siku nimepokea simu nyingi za maswali kama hii leo, Wengi wakihitaji π”½π•’π•“π•£π•šπ•«π•šπ•  𝕨𝕒 π”Έπ•—π•£π•šπ•”π•’ nitolee ufafanuzi kuhusu sakata la Azizi Ki na Yanga SC,…

Read More

MWAMBA KIBWANA SHOMARI BADO YUPO YANGA

BADO yupoyupo sana ndani ya kikosi cha Yanga mwamba Kibwana Shomari ambaye ni mzawa baada ya kuongeza kandarasi nyingine. Yanga kupitia kwa Ofisa Habari Ali Kamwe walibainisha kwamba watafanya usajili bora utakaozingatia vigezo vya uwezo kwa wachezaji ili kuongeza ushindani ndani ya timu. β€œKila mchezaji ana nafasi ya kuonyesha uwezo wake na tunaamini kwenye ubora…

Read More