MWAKINYO AFUNGUKIA ISHU YAKE NA AZAM

BONDIA Mtanzania, Hassan Mwakinyo amewaomba radhi mashabiki wake kwa sintofahamu iliyojitokeza usiku wa Ijumaa ya Mei 31, katika ukumbi wa Warehouse Masaki ambako alitarajiwa kupigana na Mghana, Patrick Allotey na jambo hilo kushindikana dakika za mwisho za usiku ule. Kutokana na sintofahamu hiyo, Mwakinyo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii, amesema hakuna shida yoyote…

Read More

MABINGWA YANGA WATEMBEZA MKWARA

MABINGWA wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 Yanga wametembeza mkwara mwingine kwa kubainisha kwamba hesabu kubwa ni kutwaa taji la CRDB Federation mbele ya Azam FC. Ikumbukwe kwamba Yanga ni mabingwa watetezi wa taji hilo walitwaa mbele ya Azam FC kwenye fainali iliyochezwa Uwanja wa Mkwakwani kwa ushindi wa bao 1-0 huku mtupiaji akiwa…

Read More

MATAJIRI AZAM FC WATUMA UJUMBE HUU YANGA

MATAJIRI wa Dar, Azam FC wamebainisha kwamba wapo tayari kwa mchezo wa fainali dhidi ya Yanga inayonolewana Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Azam FC inanolewa na Msenegal, Yusuph Dabo ambaye ameongoza kikosi hicho kumaliza kikiwa nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi. Ni pointi 69 wamekomba Azam FC baada ya kucheza mechi 30 mchezo wao wa…

Read More

YANGA WANA JAMBO LAO NA AZAM FC

MABINGWA watetezi wa CRDB Federation Cup, Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi wana jambo lao na Azam FC kwenye mchezo wa fainali. Ngoma inatarajiwa kuchezwa leo ndani ya dakika 90 katika msako wa mshindi mpya ikiwa ni mchezo wa funga msimu wa 2023/24. Ipo wazi kwamba Yanga wana taji la Ligi Kuu Bara walitwaa…

Read More

SIMBA WATOA YA MOYONI, KUREJEA KWENYE UBORA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa utafanyia kazi makosa ambayo yamepita ili kurejea kwenye ubora wao kwa kuwa nyakati ambazo wamepita zimewaumiza. Ipo wazi kuwa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda imegotea nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi ikiwa na pointi 69. Imepishana na taji la ligi pamoja na Ligi ya Mabingwa Afrika…

Read More

MWAKINYO ASHINDA UBINGWA WA WBO KWA TKO

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo usiku wa kuamkia June 02, 2024 ameshinda Ubingwa wa WBO kwa TKO kwa kumpiga Bondia Mghana Patrick Allotey kwenye Ukumbi wa Warehouse uliopo Masaki, Dar es Salaam aliyeshindwa kuendelea na pambano round ya pili akidai ameumia bega. Pambano hilo lilipangwa kuchezwa  June 01, 2024 lilishindwa kufanyika kwasababu…

Read More

REAL MADRID YATWAA UBINGWA WA LIGI YA MABINGWA ULAYA

REAL MADRID imetwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa mara ya KUMI NA TANO (15) kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi miamba ya Ujerumani, Borussia Dortmund kwenye fainali iliyopigwa katika dimba la Wembley, London. Borussia Dortmund walikuwa bora sana kipindi cha kwanza lakini walishindwa kuwaadhibu Mabingwa hao wa Uhispania kabla ya mambo kugeuka kichwa chini…

Read More

ZAIDI YA MIL 400 ZINAKUSUBIRI WEWE, CHEZA NA USHINDE EXPANSE TOURNAMENT KASINO

Kila siku mapambanao ya utafuutaji lazima yaendelee, na siku zote mtafutaji hachoki, kupitia Meridianbet kasino ya mtandaoni kuna promosheni ya Tsh Milion 400,000,000/= kwaajili yako wewe, mpenzi w michezo ya kasino, Expanse Tournament ni yako kwa ushindi mkubwa. Jisajili na Cheza Meridianbet Kasino. Katika promosheni hii unapokuwa unacheza mchezo wako pendwa wowote ule uliotengenezwa na…

Read More

MWAMBA HUYU HAPA ATAJWA KUMALIZANA NA YANGA

 BEKI wa kazi ndani ya FC Lupopo Chadrack Boka anatajwa kumalizana na mabosi wa Yanga kwa ajili ya kuwa ndani ya timu hiyo msimu wa 2024/25. Beki huyo mwenye miaka 24 raia wa DR Congo Yanga wanatajwa kumalizana naye mapema kwa ajili ya kuimarisha kikosi hicho kinachonolewana Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Ipo wazi kwamba Yanga…

Read More

BETPAWA YAFANYA AMSHAAMSHA MWANZA KUELEKEA FAINALI

KAMPUNI ya michezo ya kubashiri ya betPawa imewazawadia vifaa vya michezo timu mbalimbali za mkoa wa Mwanza ikiwa sehemu ya kuchangia maendeleo ya soka na amsha amsha ya mechi ya fainali ya Ligi ya Mabingwa ya UEFA kati ya Borussia Dortmund na Real Madrid itakayofanyika Jumamosi, Juni 1, 2024. Tukio hilo lililopewa jina la Soka…

Read More

MATAJIRI WA DAR KAMILI KUIKABILI YANGA

AZAM FC wapo tayari Zanzibar kwa maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa fainali dhidi ya Yanga. Ni CRDB Cup inatarajiwa kuchezwa Juni 2 2024 Uwanja wa New Amaan Complex kwa kila timu kupambania taji hilo. Miongoni mwa wachezaji waliopo na kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu Yusuph Dabo ni pamoja na Feisal Salum, Jhonier Blanco…

Read More