Jambo la Chama ni nyeti sana, wanasimba tunampenda sana Chama ila ikitokea ameondoka basi hakuna namna”____ Afisa Habari wa Simba @ahmedally_ akizungumza na Kitenge Tv kuhusu sakata la mchezaji Chama kuondoka Simba.
SEMAJI AHMED ALLY ATAJA TAREHE RASMI YA SIMBA DAY MWAKA HUU/”HII SIO YA KUKOSA/WAHI TIKETI YAKO”
![](https://salehjembe.co.tz/wp-content/uploads/2024/06/20230806_180040.jpg)