IMEISHA HIYO, MWAMNYETO ANAENDELEA KUBAKIA YANGA

NAHODHA na beki wa kati wa Yanga, Bakari Mwamnyeto jana ameongeza mkataba mwengine wa miaka miwili wa kuendelea kubakia hapo. Mwamnyeto ameongeza mkataba huo, baada ya kufikia muafaka mzuri na Uongozi wa timu hiyo, katika dau la usajili na mshahara atakaouchukua ndani ya miaka miwili atakayokuwepo. Beki huyo alisaini mkataba huo, chini ya Mtendaji wa…

Read More

LOMALISA HUYOOO NAMUNGO FC

BAADA ya kuitumikia Yanga kwa misimu miwili kwa mafanikio, Beki Joyce Lomalisa (31) anatajwa kutua Namungo FC kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho msimu ujao. Lomalisa awali alikuwa anatajwa kujiunga Simba lakini mambo yakaenda tofauti na sasa inaelezwa Namungo inayonolewa na Kocha Mkongomani, Mwinyi Zahera ina mpango wa kumpa mkataba wa miaka miwili…

Read More

MCHAKATO WA LAWI KWENDA SIMBA ULIKUWA HIVI

Beki Lameck Lawi alijiunga na Simba kwa mkataba wa miaka mitatu huku akiahidiwa kupewa Tsh 130,000,000,kama “Signing –On Fee” na pesa hiyo italipwa kwa awamu tatu. Baada ya kusaini mkataba na Simba Lawi alipewa Tsh 100,000,000,kisha akaahidiwa kupewa Tsh 15,000,000 kwenye msimu wake wa pili na wa tatu. Aidha kwenye mkataba wa Lawi na Simba…

Read More