ENGLAND YAPOTEZA MECHI YAKE YA MWISHO KABLA YA KUANZA KWA EURO 2024

England imepoteza mechi yake ya mwisho kabla ya kuanza kwa michuano ya kombe la Mataifa Ulaya EURO 2024 kufuatia kipigo cha 1-0 dhidi ya Island katika dimba la Wembley Stadium (London).

FT: England 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 0-1 🇮🇸 Iceland
⚽ Thorsteinsson 12’

Wiki moja kabla ya kuanza kwa EURO 2024 Ujerumani imehitimisha maandalizi ya michuano hiyo kwa ushindi dhidi ya Ugiriki katika Borussia-Park (Mönchengladbach)

FT: Ujerumani 🇩🇪 2-1 🇬🇷 Ugiriki
⚽ Havertz 56’
⚽ Gross 89’
⚽ Masouras 24’