England imepoteza mechi yake ya mwisho kabla ya kuanza kwa michuano ya kombe la Mataifa Ulaya EURO 2024 kufuatia kipigo cha 1-0 dhidi ya Island katika dimba la Wembley Stadium (London).
FT: England 🏴 0-1 🇮🇸 Iceland
⚽ Thorsteinsson 12’
Wiki moja kabla ya kuanza kwa EURO 2024 Ujerumani imehitimisha maandalizi ya michuano hiyo kwa ushindi dhidi ya Ugiriki katika Borussia-Park (Mönchengladbach)
FT: Ujerumani 🇩🇪 2-1 🇬🇷 Ugiriki
⚽ Havertz 56’
⚽ Gross 89’
⚽ Masouras 24’