>

LIGI KUU BARA: DODOMA JIJI 0-1 SIMBA

FT: LIGI Kuu Bara Uwanja wa Jamhuri, Dodoma Dodoma Jiji 0-1 Simba Goal Michael Fred dakika ya 7 DODOMA Jiji wapo nyumbani Uwanja wa Jamhuri, Dodoma wakisaka pointi tatu mbele ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu Juma Mgunda. Simba ikiwa ugenini nayo hesabu zake ni kupata pointi tatu muhimu kwenye mchezo ambao una ushindani mkubwa….

Read More

TAIFA STARS INAZIDI KUIMARIKA TARATIBU

LEGEND kwenye upande wa uandishi wa Habari za Michezo na Burudani Bongo, Saleh Ally, Jembe ameweka wazi kuwa timu ya taifa ya Tanzania ya Taifa Stars inazidi kuimarika taratibu na mechi za kirafiki zitakuwa na faida hapo baadaye kwenye mashindano ya kitaifa na kimataifa. Jembe amebainisha kuwa licha ya Stars kuanza kwa kuchechemea kwenye mchezo…

Read More

DODOMA JIJI YAIPIGIA HESABU SIMBA

BENCHI la ufundi la Dodoma Jiji limebainisha kwamba limefanya maandalizi mazuri kukabiliana na Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Ipo wazi kwamba mchezo wa leo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote kusaka pointi tatu muhimu kutokana na nafasi ambazo timu hizo zipo. Simba inapambana kujinasua kutoka…

Read More

YANGA MWENDO WAO KUIKABILI IHEFU

MABINGWA watetezi wa taji la CRDB Federation Cup wana kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Ihefu katika mchezo wa hatua ya nusu fainali, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Chini ya Kocha Mkuu Miguel Gamondi, Yanga ilianza raundi ya pili kwa kushuhudia ubao ukisoma Yanga 5-1 Hausing, Yanga 5-0 Polisi Tanzania, Dodoma Jiji 0-2 Yanga…

Read More

MCHEZO WA FRUIT O RAMA ULIPO USHINDI WA KASINO

Karibu kwenye burudani ya kasino ya mtandaoni isiyozuilika yenye kutawaliwa na alama za matunda! Ukipanga alama hizi kwa mfululizo kamili wa ushindi, utashinda zawadi za kushangaza. Ni wakati wa kuanza safari hii isiyosahaulika kupitia Meridianbet kasino ya mtandaoni! Jisajili Meridianbet hapa. Maelezo ya Msingi Fruit O Rama ni kasino ya mtandaoni kutoka Meridianbet wenye safu…

Read More

AZAM FC WALIPIGIA HESABU KOMBE LA YANGA

CHINI ya Kocha Mkuu, Yusuph Dabo kikosi cha Azam FC kinatarajiwa kushuka Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kuwania tiketi ya kutinga hatua ya fainali dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Hesabu kubwa za Azam FC ni kupata ushindi kwenye mchezo huo ili kutwaa taji la CRDB Federation Cup ambalo lipo mikononi mwa Yanga. Ikumbukwe kwamba…

Read More