>

JONAS MKUDE APENYA KUWANIA TUZO

KIUNGO wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga, Jonas Mkude maarufu kwa jina la Nungunungu amepenya kwenye orodha ya wachezaji watatu wanaowania tuzo ya mchezaji bora ndani ya kikosi hicho. Mkude amekuwa katika ubora wake hivi karibuni baada ya kupewa nafasi kucheza katika mechi za ushindani alikuwa kwenye kikosi cha Yanga kilichokomba pointi tatu dhidi…

Read More

ORODHA YA WACHEZAJI SIMBA AMBAO HAWAPO FITI

WAKIWA kwenye mbio za kujinasua kutoka nafasi ya tatu waliyodumu kwa muda mrefu msimu wa 2023/24 orodha ya wachezaji ambao hawapo fiti imeongezeka. Aprili 30 kwenye funga Aprili waliambulia sare ugenini huku wakikosa huduma za nyota wao ambao wapo kwenye program maalumu kurejea kwenye ubora wao. Wakati ubao ukisoma Namungo 2-2 Simba wakigawana pointi mojamoja…

Read More

AZAM YASHUSHA KIUNGO KUTOKA MALI

KLABU ya Azam imefikia makubaliano na klabu ya Stade Malien (Mali) kumsajili kiungo mshambuliaji, Franck Tiesse. kwa mkataba wa miaka miwili kuanzia msimu ujao wa 2024-25. Tiesse (26) anayesifika kwa uwezo wake mkubwa wa kushambulia kwa kasi na uwezo wa kutumia miguu yote miwili, akiwa Stade Malien aliisaidia klabu hiyo kufika robo fainali ya Kombe…

Read More