>

SERIKALI YAIPA TANO YANGA

NAIBU Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma amewapa tano viongozi wa Yanga kwa kuandaa usafiri wa basi kwa ajili ya mashabiki kuelekea Afrika Kusini. Yanga inatarajiwa kucheza mchezo wa mkondo wa pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns baada ya ule wa mkondo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa kutoshana…

Read More

NGOMA NI NZITO KIMATAIFA KETE ZA UGENINI

BAADA ya Machi 12 2024 droo ya Ligi ya Mabingwa Afrika kupangwa ambapo kila timu iliyokuwa hatua ya robo fainali ilipata fursa ya kutambua kigogo yupi atakutana naye ndani ya uwanja kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza. Ipo wazi kwamba Simba kete yake ilikuwa dhidi ya Al Ahly ya Misri mchezo uliokuwa ukisubiriwa kwa shauku…

Read More

MWAMBA AUCHO YUPO FITI ANAPIGA MAZOEZI

KIUNGO wa kazi ndani ya Yanga Khalid Aucho mdogomdogo anazidi kurejea kwenye ubora wake akiendelea na mazoezi kwa ajili ya kuwa tayari kwa mechi za ushindani kitaifa na kimataifa. Nyota huyo alikosekana kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns kwa kuwa alikuwa hajafikia asilimia 100 ya kuwa tayari kwa mapambano kwenye…

Read More