
SIMBA HESABU KIMATAIFA KUONGEZA DOZI, AL AHLY KUTUA LEO
BENCHI la ufundi la Simba limebainisha kuwa litawaongezea dozi wachezaji wao kwenye uwanja wa mazoezi kuwa imara zaidi katika mechi wanazocheza ikiwa ni pamoja na safu ya ulinzi. Ipo wazi kwamba ndani ya Ligi Kuu Bara, safu ya ulinzi ya Simba imekuwa na mwendo mbovu katika ulinzi ndani ya timu tatu zilizo kwenye tatu bora…