>

TAIFA STARS KAMILI KIMATAIFA, HALI YA HEWE TATIZO

KOCHA wa Timu ya Taifaya Tanzania, Taifa Stars, Hemedi Sulemaini amesema kuwa wachezaji wapo tayari kwa ajili ya mechi zinazowakabili licha ya hali ya hewa kuwa ngumu kidogo watazoea taratibu. Kocha huyo amebainisha kwamba taratibu wanaendelea kuwa kwenye mfumo kutokana na maandalizi ambayo wanafanya na imani ni kufanya vizuri kwenye mechi zao zote. Taifa Stars…

Read More

MSANII WA VICHEKESHO MJEGEJE AFARIKI

Msanii wa vichekesho Umar lahbedi Issa almaarufu la Mzee wa Mjegeje amefariki dunia leo alfajiri katika Hospitali ya Mwananyamala alipokuwa akipatiwa matibabu. Meneja wa msanii huyo amethibitisha taarifa za kifo hicho huku chanzo cha kifo chake kikitajwa kuwa alikuwa anaumwa maradhi ambayo hayajawekwa wazi.

Read More

VIDEO: DOROTHY MRITHI WA ZITTO AJIBU KWA NINI MAKAMU WA KWANZA ZANZIBAR HANA NGUVU KAMA MAKAMU WA PILI

Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo aliyechukua nafasi ya Zitto Kabwe ndani ya chama hicho, mwanamama Dorothy Semu amefunguka juu ya mjadala na maswali kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman anayetokana na ACT hana nguvu ukilinganisha na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla. Katika mahojiano…

Read More

SIMBA WANAPAMBANIA HALI YAO KWA SASA

MSIMU wa 2023/24 unaingia kwenye orodha ya msimu ambao Simba inapitia magumu kutokana na mwendo wake kutokuwa bora ndani ya uwanja katika mechi za ushindani ndani ya Ligi Kuu Bara. Kwa upande wa  rekodi kwa timu na namba binafsi kwa wachezaji wanaotimiza majukumu kikosi cha Simba kwa hivi karibuni haujawa kwenye ubora ambao ulikuwa unatarajiwa…

Read More

WATANO HAWA YANGA HATIHATI KIMATAIFA

MWAMBA Pacome Zouzoua anasumbuliwa na maumivu ya goti alipata maumivu mchezo wa Mzizima Dabi. Kuna hatihati kwa nyota hawa kuwa kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Khalid Aucho alikosekana Mzizima Dabi anasumbuliwa na goti, Zawadi Mauya naye hayupo fiti huku Attohoula Yao aliumia kwenye nyama…

Read More

MAYELE AMPA TANO FEI TOTO

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga SC, Fiston Mayele amempongeza kiungo wa Azam FC ambaye naye amewahi kukipiga Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ baada ya kufunga goli la ushindi wa 2-1 kwenye mchezo dhidi ya waajiri wake wa zamani. Feisal aliibuka Azam FC akitokea Yanga walipokutana kwenye mchezo wa mzunguko wa pili wa ligi uliochezwa Machi…

Read More