
AZAM FC YAKOMBA POINTI TATU ZA YANGA
MATAJIRI wa Dar, Azam FC wamekomba pointi tatu mazima kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Azam FC 2 -1 Yanga. Mabao ya yamefungwa na Feisal Salum dakika ya 51 na Gibril Sillah dakika ya 19 kwa Azam ni…