>

YANGA KWENYE KIBARUA MBELE YA POLISI TANZANIA

WAKIWA kwenye maandalizi ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi dhidi ya CR Belouizdad Jumamosi, Uwanja wa Mkapa, Yanga leo wanakibarua mbele ya Polisi Tanzania. Ni mchezo wa Azam Sports Federation hatua ya 16 bora unaotarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku sawa na muda wa mchezo wao ujao Ligi ya Mabingwa Afrika ambao…

Read More

Suka jamvi Lako na Mechi za UEFA Leo

UEFA leo hii inaendelea kwa mechi mbili pekee kule Italia na Uholanzi ambapo timu hizo zitakuwa zikichuana vikali kuwania hatua ya kufuzu Robo Fainali ya ligi za mabingwa. Na wewe una nafasi ya kuwa bingwa leo. Ingia meridianbet na ubashiri mechi hizo. Mechi yenye ODDS KUBWA na za kibabe itakuwa ni hii kati ya  PSV…

Read More

KINDA MTANZANIA WA MIAKA 12 ANG’ARA URUSI

NI wazi kuwa Tanzania imeng’ara baada ya mwakilishi pekee kinda Mtanzania, Harrith Chunga Misonge mwenye umri wa miaka 12 kuwa gumzo. Misonge mkazi anaiwakilisha Tanzania kwenye michuano ya Phygital Football for Friendship akiwa mwakilishi pekee kutoka Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika. Mwakilishi mwingine ni mtoto kutoka Afrika ya Kati lakini hajang’ara kama Misonge ambaye…

Read More

HII HAPA SABABU YA YANGA KUJA NA PACOME DAY

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa sababu kubwa ya kuja na Pacome Day Kitaalamu Zaidi inatokana na utaalamu wa kiungo huyo kwenye eneo la kiungo mshambuliaji ndani ya uwanja kuwapoteza wachezaji wengi wa timu pinzani. Ipo wazi kwamba ndani ya Ligi Kuu Bara, Pacome kafunga mabao sita na pasi tatu za mabao katika Ligi ya…

Read More

NGOMA NZITO, POLISI TANZANIA YAWAPIGA MKWARA YANGA

MABINGWA watetezi wa Kombe la Azam Sports Federation Yanga leo wanakibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa raundi ya tatu. Februari 19 kuna mechi ambazo zilichezwa katika raundi ya tatu na matokeo ilikuwa  Coastal Union 1-0 Mbeya Kwanza,  Singida FG 2-0 FGA Talents na Dodoma Jiji 2-1 Biashara United leo ni zamu ya Yanga. Ali…

Read More