>

KMC 0-3 YANGA, JAMHURI, MOROGORO

FT: Uwanja wa Jamhuri, Morogoro KMC 0-3 Yanga Goal Pacome dakika ya 60 Goal Muadthir Yahya dakika ya kwanza, 53 Bao la mapema zaidi kwa Yanga ndani ya Ligi Kuu Bara limefungwa mzunguko wa pili na Mudathir Yahya Uwanja wa CCM Kirumba dakika ya kwanza. Ikumbukwe kwamba bao la kwanza kwenye mzunguko wa kwanza lilifungwa…

Read More

TATU BORA KIVUMBI, ZOTE ZASHINDA

LIGI Kuu Tanzania Bara ushindani wake unazidi kuwa mkubwa kila wakati huku tatu bora vita ikiwa ni kubwa Kwa kila timu. Azam FC walifunga Februari 16 ubao ulisoma Azam FC 2-1 Geita Gold mabao yalifungwa na Tariq Seif dakika ya 41, Gibril Sillah dakika ya 44 na makali ya Idd Suleiman Nado yalionekana dakika ya…

Read More