TABORA UNITED YATUMA UJUMBE HUU SIMBA

UONGOZI wa Tabora United umesema kuwa hauna hofo na mchezo wao dhidi ya Simba ambao utakuwa wa ligi wapo tayari kuchukua pointi tatu kwa namna yoyte watakapokutana ndani ya uwanja. Ofisa Habari wa Tabora United, Christina Mwagala amesema kuwa kikosi walichonacho pamoja na usajili mzuri waliofanya unawapa nguvu ya kupata matokeo kwenye mechi zao zote…

Read More

ARSENAL YAIBAMIZA LIVERPOOL BAO 3-1

Majogoo wamedhalilika ugenini dhidi ya Washika Mitutu kufuatia kipigo cha 3-1 katika dimba la Emirates. FT: Arsenal 3-1 Liverpool 14’— Saka ⚽ 67’— Martinelli ⚽ 45+3’— Magalhães (og) ⚽ 88’ Konate ? 90+2’ — Trossard ⚽ Arsenal imesogea mpaka alama mbili nyuma ya kinara Liverpool kwenye msimamo wa Ligi Kuu England alama 49 baada ya…

Read More