VIDEO; CHEKI AZIZ KI, YAO VITUKO VYAO UWANJANI
MASTAA wa Yanga, Aziz KI, Yao, Pacome ni miongoni mwa nyota wanaofanya kazi kubwa ndani ya uwanja ambapo wamekuwa na vituko kadhaa kwenye uwanja na wakiwa uwanjani wanapiga kazi kwelikweli
MASTAA wa Yanga, Aziz KI, Yao, Pacome ni miongoni mwa nyota wanaofanya kazi kubwa ndani ya uwanja ambapo wamekuwa na vituko kadhaa kwenye uwanja na wakiwa uwanjani wanapiga kazi kwelikweli
KUELEKEA kwenye mchezo wa nusu fainali ya Mapinduzi 2024 Kocha Msaidizi wa Singida Fountain Gate, Nizar Khalfan amesema wanaamini mchezo wao dhidi ya Simba hautakuwa mwepesi ila wamejipanga kuhakikisha wanapata ushindi. Ipo wazi kuwa walipokutana kwenye mchezo wa hatua ya makundi ubao ulisoma Simba 2-0 Singida Fountain Gate hivyo wanakwenda kukutana kwa mara nyingine tena Januari…
ULE muda wa wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania kufanya kweli na kupata matokeo kwenye mechi za ushindani ni sasa kwa kuwa mashindano ya AFCON yapo mbele yao huku ushindani ukitarajiwa kuwa mkubwa kwa timu zote. Kwa namna ambavyo kila timu inahitaji ushindi imani kubwa hata kwa wachezaji wa Stars nao pia hesabu kubwa…
Nasikia kuna watu wamepagawa sana na mchezo wa AVIATOR yani huwaambii kitu, lakini kuna michezo mingi sana ya kupiga hela kirahisi kama huu mchezo wa matunda 81 Vegas Magic kutoka Meridianbet Kasino ya Mtandaoni unalipa mtonyo kila sekunde na bonasi kibao. 81 Vegas Magic ni SLOTI ya kupiga pesa kasino mtandaoni iliyotengenezwa na mtoa huduma…
WAMEANZA 2024 wakiwa ni namba moja baada ya kufunga kwa mtindo wao 2023 kwenye mechi za ushindani ndani ya Ligi Kuu Bara ambayo imekuwa na ushindani mkubwa kwa kila timu kuwa na jambo lake kwenye msako wa pointi tatu na rekodi ambazo zitakuwa hesabu mwisho wa msimu.
MSHAMBULIAJI wa Simba Jean Baleke kwenye kutimiza majukumu yake Mapinduzi 2024 alifunga bao pekee dakika ya 45+3 ambalo limekuwa ni ngazi kwa Simba kutiga hatua ya nusu fainali Mapinduzi 2024. Januari 10 2024 inakwenda kupigwa nusu fainali ya kibabe kwa miamba hawa wawili ambapo Singida Fountain Gate wameweka wazi kuwa hawapo kinyonge tena. Ikumbukwe kwamba mchezo…
KLABU bora Bongo Azam FC kwa mara nyingine tena wamekwama kufurukuta mbele ya Singida Fountain Gate katika Kombe la Mapinduzi kwa kuwa ni mara ya pili kufungashiwa virago na timu hiyo. Ikumbukwe kwamba Januari 8 2023 ubao wa Uwanja wa Amaan ulisoma Azam FC 1-4 Singida Fountain Gate katika hatua ya robo fainali zama hizo…
BENCHIKHA amvuta mbadala wa Chama, Gamondi atoa kauli ya kibabe Yanga SC ndani ya Spoti Xtra Jumanne
IKIWA ni Januari kukiwa na mambo mengi yakufanya yaliyojipanga kwa umakini na yote yakihitaji mkwanja kuna wanafamilia ya michezo wao Januari kwao imeanza na kicheko kwa kukunja mkwanja mrefu kutokana na kazi yao ya kuvuja jasho uwanjani. Hapa tunakuletea baadhi ambao wamefanya vizuri ndani ya Mapinduzi 2024 wakikunja mkwanja kibindoni kutoka kwa wadhamini, hivyo tu…
MWAMBA Ladack Chasambi ambaye ni kiungo ametambulishwa ndani ya kikosi cha Simba ikiwa ni ingizo jipya. Timu hiyo ya Simba chini ya Abdelhackh Benchika inatarajiwa kucheza mchezo wa hatua ya robo fainali dhidi ya Jamhuri kwenye Kombe la Mapinduzi leo Januari 8 2024. Ikiwa itapoteza kwenye mchezo wa leo itafungashiwa virago na kugotea mwisho kwenye…
NIZAR Khalfan, kocha msaidizi wa Singida Fountain Gate ameweka wazi kuwa hawatakubali kupoteza kwenye mchezo wa robo fainali dhidi ya Azam FC, unaotarajiwa kuchezwa leo Januari 8 2024. Ikumbukwe kwamba mwaka mmoja uliopita tarehe kama ya leo ilikuwa ni robo fainali kwa wababe hawa wanaokutana kwa mara nyingine ubao wa Uwanja wa Amaan ulisoma Azam…
Tunakuletea mpambano wa mafia ambapo utakutana na bonasi za kasino zisizoweza kushindwa. Ni wakati wa kuchagua upande utakaokupeleka kwenye mizunguko ya mara nyingi. Furahia sherehe ya kipekee. Mafia Clash ni mchezo wa kasino ya mtandaoni inaotoa bonasi kibao kwa wachezaji, sloti hii imetengenezwa Hacksaw Gaming. Mchezo huu kutoka Meridianbet kasino ya mtandaoni una thamani inayoweza…
TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kwa sasa ipo kambini ikiwa ni maandalizi ya mwisho kwa ajili ya AFCON 2023 inayotarajiwa kufanyika Ivory Coast. Hii sio kazi rahisi kwa wachezaji kwa kuwa kila timu inahitaji matokeo ndani ya uwanja katika dakika 90. Kila mchezaji anajukumu la kuhakikisha kwamba anapambania kombe na kufanya vizuri kila akipata…
MBWANA Samatta nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa mchezo wao dhidi ya timu ya taifa ya Misri ni kipimo tosha katika kuelekea mashindano ya AFCON 2023. Ikumbukwe kwamba Januari 7 2024 timu ya taifa ya Tanzania ilicheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Misri baada ya dakika 90 ubao ulisoma, Tanzania…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kwa yote yalitokea katika Kombe la Mapinduzi 2024 wanashukuru huku safari yao ikigotea robo fainali. Chini ya Miguel Gamondi katika mechi tatu za hatua ya makundi ndani ya dakika 270 ilishinda mbili na kuambulia sare moja ikakomba pointi 7 kati ya 9. Januari 7 ilishuhudia ubao wa Uwanja wa…
AMETOA maamuzi mengine ndani ya Simba kuhusu hatma ya kiungo mshambuliaji Luis anayetajwa kuwa kwenye hesabu za kupewa mkono wa asante kutokana na kuporomoka kwa kiwango chake.
JEMBE amezungumzia kuhusu timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ambayo ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mechi za AFCON Ivory Coast ambapo kwa sasa wapo kwenye maandalizi ya mwisho.