>

WANAANZA MAISHA MAPYA SEHEMU NYINGINE TENA

USAJILI wa dirisha dogo Januari 15 usiku ulifungwa ambapo timu kadhaa zimetambulisha nyota wao wapya kwa ajili ya kuwa ndani ya changamoto mpya msimu wa 2023/24. Hapa tunakuletea baadhi ya nyota waliotambulishwa ndani ya timu shiriki Ligi Kuu Bara namna hii:- Geita Gold Erick Mwijage kutoka West Armenia. Mtibwa Sugar Jimmyson Mwanuke alikuwa ndani ya…

Read More

MSHAMBULIAJI WA KAZI NI MNYAMA

RASMI nyota  Freddy Michael Kouablan ingizo jipya ndani ya kikosi cha Simba atakuwa kwenye changamoto mpya baada ya kusaini dili la miaka miwili. Kouablan raia wa Ivory Coast ana miaka 26. Alikuwa ndani ya Klabu ya Ligi kuu ya Zambia ya Green Eagles. Rekodi zinaonyesha kuwa mshambuliaji huyo wa kazi ni mabao 14 na pasi…

Read More

FUNGA KAZI YA YANGA HUYU HAPA MSHAMBULIAJI

MWAMBA huyu hapa mshambuliaji wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga ikiwa ni ingizo jipya katika dirisha dogo. Anaitwa Joseph Guede raia wa Ivory Coast ambapo kafunga dirisha la usajili kwa upande wa Yanga katika dirisha dogo. Yeye ni mshambuliaji wa Kati anakuja kuongeza nguvu kwenye eneo la ushambuliaji ndani ya Yanga. Wakati anaingia mwamba…

Read More