HAPA NDIPO SIMBA WALIPOFANYA MAKOSA DHIDI YA AL AHLY
MPIRA ni mchezo wa makosa hilo lipo wazi na ilikuwa hivyo kwenye mchezo wa ufunguzi wa Afrinca Football League kati ya Simba dhidi ya Al Ahly. Dakika 45 za mwanzo kwa wachezaji wa Simba walionekana kuumiliki mpira bila kuwa na mpango na mwisho walitunguliwa bao moja na Slim dakika ya 45. Angalau kidogo kipindi cha…