KIMATAIFA KAZI IFANYIKE KWA YANGA NA SIMBA
KIMATAIFA kazi inakwenda kuanza kwa wawakilishi wa Tanzania Simba na Yanga kufanya kweli katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Muda ni sasa kwa wachezaji kufanya kweli katika mechi zote za nyumbani na ugenini. Katika hatua ya makundi ni msako wa pointi tatu hivyo hesabu za kufikia hatua ya robo fainali zinaanza kupangwa sasa. Ni muda wa…