>

YANGA 3-0 MEDEAMA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

BAADA ya dakika 90 kuukamilika, Yanga imeshinda mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi dhidi ya Medeama wakiwa nyumbani. Ni mabao 3-0 Yanga wameshinda baada ya Pacome kufungua ukurasa wa mabao kipindi cha kwanza na Bakari Mwamnyeto na Mudathir Yahya kufunga kwenye mchezo wa leo kipindi cha pili. Kipindi cha kwanza kwenye mchezo…

Read More

YANGA YAGOMEA JAMBO HILI CAF

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa haujakata tamaa kwenye mashindano ya kimataifa malengo yao bado yapo kuona kwamba wanafikia hatua ya robo fainali. Katika mechi tatu ambazo ilicheza, Yanga ilivuna pointi mbili na safu ya ushambuliaji ilitupia mabao mawili huku ile ya ulinzi ikiruhusu mabao matano.  Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe amesema kuwa malengo…

Read More

NAMNA SIMBA WALIYVOANZA KUONANA KIMATAIFA/ BADO MMENUNA

KWENYE anga la kimataifa Simba wamepata ushindi wa kwanza msimu wa 2023/24 dhidi ya Wydad Casablanca kwa mabao ya kiungo mshambuliaji Willy Onana ambaye alipachika mabao yote mawili. Katika mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Onana alitumia pasi kutoka kwa kiungo mshambuliaji Kibu Dennis. Simba inafikisha pointi tano ikiwa nafasi ya pili kwenye msimamo ikitoka…

Read More

MAAGIZO HAYA YAMETOLEWA NA MASTA GAMONDI

WAKIWA kwenye maandalizi ya mwisho kuwakabili wapinzani wao Medeama FC ya Ghana, Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ametoa maagizo mazito kwa wachezaji wake wote kuanzia kwenye safu ya ushambuliaji na ulinzi. Ipo wazi kuwa baada ya kucheza mechi tatu katika hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, safu ya ushambuliaji ya Yanga ilitupia mabao…

Read More

SIMBA NA YANGA ZAPEWA TANO NA KOCHA BONGO

MECKY Maxime, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amesema kuwa wawakilishi wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga na Simba wanafanya kazi kubwa licha ya kushindwa kupata matokeo mazuri. Ipo wazi kwamba Yanga na Simba zinaipeperusha bendera ya Tanzania kwenye hatua ya makundi ambapo timu zote zina pointi mbili baada ya kucheza mechi tatu ndani…

Read More

ZAMU YA YANGA KUWAPA FURAHA MASHABIKI

KIMATAIFA mwendo ni mbovu kwa timu zote mbili ambazo zimetinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika kutokana na picha ya mechi za tatu za awali ilivyokuwa. Katika safu ya ushambuliaji inaonekana matatizo ni makubwa kwa timu zote na hata ulinzi pia ni shida hivyo ni muhimu benchi la ufundi kufanyia kazi. Yanga na Simba…

Read More

KISA MEDEAMA, GAMONDI ATOA MAAGIZO MAZITO YANGA

WAKIWA kwenye maandalizi ya mwisho kuwakabili wapinzani wao Medeama FC ya Ghana, Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ametoa maagizo mazito kwa wachezaji wake wote kuanzia kwenye safu ya ushambuliaji na ulinzi. Ipo wazi kuwa baada ya kucheza mechi tatu katika hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, safu ya ushambuliaji ya Yanga ilitupia mabao…

Read More